Kombe la Dunia la fifa na Coca-Cola limewasili jioni hii na kupelekwa moja kwa moja kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kombe hilo liliwasili nchini majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendela kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwl ..
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Nape Nnauye, amesema vitendo watu wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kufadhili vyama vya siasa katika uchaguzi mkuu, vinasababisha serikali inayoingia madarakani kutekeleza matakwa ya wafadhili hao.Nape alisema hayo jana jijini Dar es ..
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) akiwa amebeba kibuyu mara baada ya kukabidhiwa na wanawake wa kabila la wataturu ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika mkoa wa Singida. Mama Kikwete yuko katika ziara ya kikazi ya siku mbili ..
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuwa kama akijaliwa kupata kipindi cha pili cha kuliongoza taifa la Tanzania, atafanya jitihada kubwa kuubadilisha uongozi wa Tanzania kuwa uongozi wa vijana.Rais Kikwete pia amesema kuwa vijana ndiyo Tanzania ya kesho, na kama Tanzania haikuwekeza vya kutosha ..