Spika wa Bunge, Samuel Sitta (kushoto) akisalimiana na Mhariri wa gazeti laMwananchi Jumapili, Daniel Mwaijega na Mhariri wa makala wa Mwananchi,Rashid Kejo (katikati) walipotembelea Bunge mjini Dodoma jana. Picha naEdwin Mjwahuzi
NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali jana alikuwa kwenye wakati mgumu mbele ya jopo la majaji saba wa Mahakama ya Rufaa wakati mabosi wa mhimili wa sheria hao walipohoji umakini wake katika kushughulikia rufaa dhidi ya uamuzi wa kuruhusu mgombea binafsi.Wakiongozwa na Jaji Mkuu Augustine ..
BAADA ya kununua vifaa vya kisasa pamoja na kutumia teknolojia ya kisasa kwa gharama nafuu kupitia uhusiano wake na Etisalat yenye wateja zaidi ya milioni 95 barani Afrika, mashariki ya kati na bara la Asia kampuni ya simu ya Zantel imeongeza idadi ya wateja wake hadi kufikia 1.4 milioni.Kwa ..
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Khadija Kianda mjane wa Marehemu Rajabu Kianda aliyekuwa mnikulu kufuatia kifo chake kilichotokea jumapili jijini Dar es Salaam.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Khadija Kianda ambaye ni mjane wa Marehemu Rajabu Kianda aliyekuwa Mnikulu ambaye ..
Mwanafunzi wa St Marian iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani, Immaculate Mosha aliyeibuka mshindi wa kwanza wa kidato cha nne mwaka huu, mwenye blauzi ya rangi ya khaki kwa mbali kama nyeupe, akifurahia ushindi wake na ndugu zake nyumbani kwa kaka yake Mwenge, jijini Dar es Salaam jana. Picha na Salhim ..