[Tahadhari: hii ni barua ya Mheshimiwa MUME WA MTU!]Kwa Mpenzi KIMADA!Leo ni siku ya KUZALIWA KWAKO MPENZI na nakutakia MAISHA MAREFU na mafanikio katika yote uyapangayo mbeleni malaya wangu.Samahani nitashindwa kuhudhuria sherehe yako unajua tena nahisi MKE WANGU kashaanza kustukia kitu ..
Kumbuka wote uwajuao au kuwasikia kwa kufanikiwa au tu MIAKILI hata kama walifanya mambo ELFU ,....... sifazao zifanyazo uwajue/KUWASIKIA/ au hata kuwazimia mara nyingi ziko kwenye kitu KIMOJA TU walichowahifanya.Na utaahira wa TAAHIRA wa binadamu adhaniwaye ni taahira au ana kichaa na ..
Kama unajua au ushashuhudia udhaifu wa BINADAMU,....... unaweza kunikubalia kuwa ni KITENDO CHA AJABU SANA kwa binadamu kuwa na UHAKIKA.NA cha ajabu ,........ KUNA binadamu wana UHAKIKA!:-)Na labda kuwa na UHAKIKA ,....... ni TABIA TU kama ile ya UMALAYA ambayo inafundishika kwa kugeuza tu ..
Matumizi ya kichwa yanaweza kukufanya UDHANI KUNA watumiao zaidi kichwa kuliko wengine.Lakini kumbuka kuwa ni matumizi ya kichwa yafanyayo wengine wanatumia zaidi tako au KUREMBUA kama wamestukia BAADA YA KUTUMIA KICHWA kuwa katika SHUGHULI ni tako tu na KUREMBUA TU ndicho hata jichoni kwa ..
Kwa kifupi ni:Mjue utakaye KUMTONGOZA!Swali:Kwani hujifunzi kitu kutoka kwa MBUNGE WAKO hasa kwa staili zake HATA za kugawia watu ubwabwa wa bure kabla ya UCHAGUZI?NIMEACHA!Labda tutaonana tena hapa kijiweni IJUMAA au JUMAMOSI kama muda, afya au tu uvivu vitaruhusu!Nakutakia kila kheri ..