Mwanamuziki Busta Rymes kutoka nchini Marekani (katikati) akitoka kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu J.K.Nyerere mara baada ya kuwasili uwanjani hapo.Usiku huu anategemea kukamua FIESTA 2009 itakayofanyika katika viwanja vya posta kijitonyama.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Batilda Burian akizinduwa Ripoti ya Idadi ya watu Duniani Kulia Mwakilishi wa (UNFPA) Nchini Tanzania Dk Juliha Onabanjo katika ofisi za UN Kinondoni Dar es Salaam.
Kijana wa mjini, Mwilu Mwilola ‘Silvanus’ ambaye hivi karibuni alifumwa kitandani akiwa na Miss Mwanza 2006-07, Aunt Ezekiel kabla ya kutimuliwa na aliyekuwa mchumba wake, Sarah, anakuwa kipimo cha kwanza kwa sababu ‘ishu’ yake bado haijapoa.Silva, alifumwa akiwa na Aunt kitandani, wote ..